Matthew 7:21

Mwanafunzi Wa Kweli

(Luka 13:25-27)

21 a “Si kila mtu aniambiaye, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika Ufalme wa Mbinguni, bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
Copyright information for SwhNEN